Amber Lutty Aelezea Video Yake ya Ngono Inayosambaa.

Mwanadada Amber Luty amefunguka na kukiri kosa lake kuhusu kuvuja kwa video ile na kusema ni kweli yeye ndio alikuwa pale lakini video hiyo inayomuonyesha kitandani akiwa na wanaume wawili wa kundi moja la wabantu ilikuwa ya siku nyingi sana hata yeye anashangaa kwnini imevuja hivi karibuni.
Kwanza mimi mwenyewe nimeshangaa kwa sababu video ile ilikuwa ya zamani sana , kuna siku nilikuwa na shida na ela ndio nikafanya kitu kama kile lakini nashangaa jana ilivyovuja.
Hata hivyo katika video izo tatu tofauti zilizovuja ipo video inayomuonyesha mwanamke huyo akichukuliwa kwa dirishani na alipulizwa kuhusu aliyekuwa akiwachukua, Amber Lutty alisema
sijajua ni nani ambae ametuchukua ile video na bado mtu huyo tunamfatilia, hata wasanii hao wenyewe wamekuwa wakishangaa na inaonekana huyo mtu anatujua na alikuwa akitufatilia.
The post Amber Lutty Aelezea Video Yake ya Ngono Inayosambaa. appeared first on Ghafla!Tanzania.

Comments

Popular posts from this blog

Hizi hapa SMS kali mpya Za Mapenzi

SMS Ambayo Itamfanya Mwanamke Akutamani

MESEJI NZURI ZA KUMTUMIA MPENZI WAKO